TEHRAN (IQNA)- Rais Hassan Rouhani wa Iran ameikosoa vikali Marekani kwa kutoomba radhi kwa kuitungua ndege ya abiria ya Jamhuri ya Kiislamu mwaka 1988 katika Ghuba ya Uajemi na kusisitiza kuwa, Washington inapaswa kubebeshwa dhima kwa kumuenzi kamanda aliyetenda jinai hiyo.
Habari ID: 3474066 Tarehe ya kuchapishwa : 2021/07/03
TEHRAN (IQNA) – Jeshi la Marekani linaendelea kulaaniwa vikali kwa kuhatarisha usalama wa ndege ya abiria ya Iran iliyokuwa inaruka katika anga ya Syria ikielekea Lebanon.
Habari ID: 3472997 Tarehe ya kuchapishwa : 2020/07/25